Monday, 6 May 2013

Nyuki asali (honeybee)

Shikamooni wakubwa na wadogo mambo...mimi kwa majina naitwa nyuki asali(honeybee) ni kijana ninaye kufanya wewe binadamu kuwa tajiri sana bila kuhangaika sana kwa njia mbalimbali kama kuchavusha mazao yako      
  
  
  kukupatia     
     

    ASALI(HONEY),               NTA (BEESWAX) ninayo itengeneza mie bila kuchakachua na kufanya wewe kutumia hayo mazao yangu na kutengeneza au kutumia kwa njia mbalimbali mfano asali wewe unachukua na tumia kwa kutengenezea 


CHOCOLATE
 Lakin wewe unijali kama mie ninavyo kujali na kukupenda


Kama hivi kwani nimejitolea kwa hali na mali kukulinda wewe na mazingira yako kufanya uwe na furaha wakati wote usifenja hata kidogo na kufanya wewe uwe na maendeleo mengi katika maisha yako...lakin cheki wewe unavyo nitenda na kuniumiza  kwani unilindi na maadui zangu wanaonizunguka kama wadudu,ndege,wanyama..mfano.. 
                                             
                          
NDEGE(BIRDS) 

                            
-VUNJAJUNGU(PRAYING MANTIS)
-NYIGU(WASP)

MCHWA(ANTS)

  
                                                                  NYEGERE(HONEYBADGER)
                         



 Muda mwingi najitahidi kupambana na maadui  ila nashindwa 
 


Nakuwa mdudu wa kuhamahama kila mara  



Nahitaji kupendwa, kulindwa kama wengine ili niwe na furaha ili nizidi kukutumikia bila kinyongo  . 


No comments:

Post a Comment